Korti yakataa ombi la wakili la kutokamatwa kwa tuhuma za kupokea pesa za kuhonga jaji
MAHAKAMA Kuu Jumatatu, Aprili 20, 2026 ilikataa ombi la wakili jijini Nairobi, Kimani Wachira, la kuitaka itoe amri ya dharura ili asikamatwe kwa tuhuma za kupokea Sh1 milioni ili...