Police Send Warning Amid Tensions in Homa Bay
Political tensions and clashes have escalated in Homa Bay today, Sunday, 16, as the Linda Mwananchi movement attempts to hold a highly anticipated rally in the ODM stronghold.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Ghasia Za Kisiasa Zaibua Homa Bay.
Fresh curated links around Ghasia za kisiasa zaibua Homa Bay are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Political tensions and clashes have escalated in Homa Bay today, Sunday, 16, as the Linda Mwananchi movement attempts to hold a highly anticipated rally in the ODM stronghold.
KILA kiongozi anaruhusiwa kufanya kampeni mahala popote nchini kwa sababu Kenya ni taifa huru na kila mwanasiasa ana haki ya kuendeleza ajenda yake ya kisiasa. Aliyekuwa Naibu Rai...
MVUTANO wa kisiasa unaendelea kutokota katika eneo la Mlima Kenya na kutishia juhudi za kuunganisha upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka ujao. Chanzo cha mzozo huo ni matamshi ya...
TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500...
KANISA la SDA Lake Victoria Field liligeuka kuwa eneo la vurugu Jumapili baada ya watu waliokuwa wakitoroka makabiliano ya kisiasa Homa Bay kukimbilia humo kutafuta hifadhi. Kasis...
VITA vya kisiasa kati ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen vimechukua mkondo mpya baada ya wawili hao kurushiana lawama kuhusu...
GHASIA za Ijumaa dhidi ya msafara wa Linda Mwananchi katika Kaunti ya Kisii ambapo mtu mmoja aliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa zinaonyesha jinsi ushindani wa kisiasa unavyoendel...
WAANDISHI wawili wa habari walijeruhiwa na biashara kusitishwa katika Mji wa Homa Bay Jumapili huku mvutano ukizuka kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi. Waandishi wa AFP Fred Ooko...
KADRI uchaguzi mkuu unavyojongea ndivyo tabia ya kufadhaisha isiyoruhusu mtazamo na msimamo tofauti inavyozidi kujitokeza. Katika taifa linalojivunia demokrasia na utawala wa kika...
ALIYEKUWA Naibu Gavana wa Homa Bay, Oyugi Magwanga, amemtaka Waziri wa Fedha John Mbadi kuacha kuingilia siasa za Kaunti ya Homa Bay akisema hatua hiyo inaweza kuathiri haki ya wan...
MTAA wa Shauri Yako mjini Homa Bay, ambao mchana huonekana kama makazi ya kawaida yenye shughuli nyingi za biashara, umegeuka kuwa kitovu cha uhalifu usiku kutokana na magenge ya v...
UCHAGUZI mdogo wa Ol Kalou ulioandaliwa jana ulikumbwa na ghasia, hongo, vitisho na majeraha huku viongozi mbalimbali wakilaani matukio hayo. Tume Huru ya Uchaguzi Nchini (IEBC) i...
NAIBU kiongozi wa walio wengi katika Bunge la Kitaifa, Bw Owen Baya, amefichua kile alichodai kilimsukuma aliyekuwa Waziri wa Jinsia Aisha Jumwa, kujiondoa katika chama cha United...
Murkomen and Gachagua have traded public condemnation over the incident that has raised tensions in the area just 14 days to the by-election.
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameongeza kwa siku 10 mkutano wake wa kisiasa unaoendelea katika makazi yake ya Wamunyoro, Kaunti ya Nye...
HUKU upinzani ukiendelea kuonyesha wana umoja hadharani, mvutano mkali unaendelea kushuhudiwa kati ya mrengo wa Linda Mwananchi na Umoja wa Upinzani, kila upande ukipambana kudhibi...
WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Geoffrey Ruku, amesema matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hayana athari kwa siasa za Mlima Kenya Mashariki, akisisitiza kuwa eneo hilo limeamua kuend...
[Capital FM] Nairobi -- Democracy for the Citizens Party Leader Rigathi Gachagua has intensified his attacks on Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen, accusing him of orche...
JOTO la kisiasa nchini limezidi kupanda huku viongozi wa upinzani wakimjia juu Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen, kufuatia msururu wa mashambulizi ya maneno dhidi ya kiongozi wa...
YANAYOTUKIA Kenya wakati huu yanawatia wasiwasi wananchi na wenye nchi kwa sababu kadhaa. Kwanza, wimbi kubwa la wahuni limechipuka mwaka mmoja kabla Kenya kuingia katika uchagu...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Bw Rigathi Gachagua, ameshambulia vikali Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), akiishutumu kwa kushindwa kutekeleza waji...
The governor broke her silence after a spate of criticism on Sunday, August 16 over the state of county roads following a visit by the Linda Mwananchi faction.
Homa Bay Governor Gladys Wanga has dismissed Nairobi Senator Edwin Sifuna’s remarks about the dusty roads the Linda Mwananchi team encountered during its tour of the county. Sifuna...
The Ol Kalau by-elections are set to be held on July 16, and the state has already deployed over 1,000 police officers in the event of election violence.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.