Latest updates for Ghasia Na Uhuni Ol Kalou

Fresh curated links around Ghasia na uhuni Ol Kalou are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Jinsi uchaguzi wa Ol Kalou ulitekwa na hongo, uhuni, vitisho na ghasia
  • Gachagua na Murkomen wapondana kuhusu ghasia eneo la Ol Kalou
  • MAONI: Visa vya uhuni na ghasia za kisiasa vinaharibia sifa ya Kenya kimataifa

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jinsi uchaguzi wa Ol Kalou ulitekwa na hongo, uhuni, vitisho na ghasia

UCHAGUZI mdogo wa Ol Kalou ulioandaliwa jana ulikumbwa na ghasia, hongo, vitisho na majeraha huku viongozi mbalimbali wakilaani matukio hayo. Tume Huru ya Uchaguzi Nchini (IEBC) i...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua na Murkomen wapondana kuhusu ghasia eneo la Ol Kalou

VITA vya kisiasa kati ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen vimechukua mkondo mpya baada ya wawili hao kurushiana lawama kuhusu...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

MAONI: Visa vya uhuni na ghasia za kisiasa vinaharibia sifa ya Kenya kimataifa

YANAYOTUKIA Kenya wakati huu yanawatia wasiwasi wananchi na wenye nchi kwa sababu kadhaa. Kwanza, wimbi kubwa la wahuni limechipuka mwaka mmoja kabla Kenya kuingia katika uchagu...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kampeni zachacha Ol Kalou zikibaki siku 10 kura zipigwe

HUKU zikisalia siku kumi pekee kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, ushindani huo umegeuka kuwa kipimo cha nguvu za kisiasa katika eneo la Mlima Kenya kuelekea Uchaguzi M...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Sababu za uchaguzi wa Ol Kalou kugeuka kufa kupona kati ya Uhuru, Ruto na Gachagua

UCHAGUZI mdogo wa ubunge wa Ol Kalou unaotarajiwa kufanyika Julai 16 umegeuka kutoka kuwa uchaguzi wa kawaida wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na marehemu mbunge David Kiaraho hadi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wahuni ghasia za Ol Kalou hawajashikwa timu ya DCI ikisema ‘inasubiri maagizo ya wakubwa’

WAHUNI waliozua vurugu wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou bado hawajakamatwa licha ya Rais William Ruto kuagiza  maafisa wa usalama kuwasaka wahusika, hali inayozua mas...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi

ZAIDI ya siku nne baada ya ghasia zilizoshuhidiwa katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, hakuna mwanasiasa, mfadhili au mmiliki wa magari yanayodaiwa kutumiwa na watu wenye s...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ol Kalou: Gachagua sasa apaa huku Uhuru, Kindiki wakiyumba Mlimani

USHINDI mkubwa wa mgombea wa Democracy for Citizens Party (DCP), Sammy Kamau Ngotho, katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou umeibua mjadala mpya kuhusu mwelekeo wa siasa za Ml...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ushindi wa Gachagua Ol Kalou wazua mjadala kuhusu mgawanyiko Mlimani

WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Geoffrey Ruku, amesema matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hayana athari kwa siasa za Mlima Kenya Mashariki, akisisitiza kuwa eneo hilo limeamua kuend...

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

UDA Responds After Gachagua Accuses CSs of Campaigning in Ol Kalou

The Ol Kalau by-elections are set to be held on July 16, and the state has already deployed over 1,000 police officers in the event of election violence.

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

Ruto’s Mwananchi Gas Project Expands to Sixth County

The Ministry of Energy and Petroleum has rolled out the distribution of subsidized LPG gas cylinders to households in Nyandarua County, marking a fresh phase in the government’s cl...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

MAONI: Nyanza haipiganii kiti chochote hivyo haifai kushuhudia ghasia na uhuni

KAMA kuna eneo ambalo halifai kushuhudia uhuni wa kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2027 basi ni eneo la Luo Nyanza hasa baada ya kifo cha Raila Odinga. Hii ni kwa sababu hakuna kile a...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gikaria matatani kwa madai ya kutoa hongo Ol Kalou akipigia debe mwaniaji wa UDA

MBUNGE wa Embakasi Mashariki David Gikaria alipewa hadi saa saba unusu kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Nidhamu ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini (IEBC) baada ya kukosa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ol Kalou: DCP ya Gachagua yabwaga UDA ya Ruto

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imemtangaza Sammy Douglas Kamau Waweru Ngotho kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou baada ya kumshinda mpinzani wake mkuu kwa...

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

Ol Kalou Railway Station Reopens After 46 Years of Inactivity

The government has announced the revival of the historic Ol Kalou Railway Station after nearly 46 years of inactivity. In a statement on Tuesday, July 14, Interior Principal Secret...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua kuwinda ngome ya Kindiki baada ya Ol Kalou kumweka roho juu

SIKU chache baada ya kupata ushindi katika uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou, aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua sasa ameelekeza juhudi zake Mlima Kenya Mashariki katik...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ol Kalou: Gachagua ashutumu IEBC akisema imeshindwa kuzima serikali kuwahonga wapigakura

KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Bw Rigathi Gachagua, ameshambulia vikali Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), akiishutumu kwa kushindwa kutekeleza waji...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Leo ni leo Ol Kalou uchaguzi ukitarajiwa kutambulisha ‘mwenye Mlima’ kati ya Ruto na Rigathi

MATOKEO ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou leo yatatoa mwelekeo wa kisiasa katika eneo lenye idadi kubwa ya wapigakura la Mlima Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Ni kat...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua akemewa kwa kauli yake kwamba watalii wasije Kenya sababu ya wahuni

KAULI ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ya kuwataka watalii na wawekezaji wa kigeni kusubiri hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2027 kabla ya kuja Kenya imesolewa vikali serikal...

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

Gachagua to Face Legal Action Over Bribery Claims in Ol Kalou

The looming lawsuit against Gachagua comes as political temperatures continue to rise as the IEBC prepares to hold the Ol Kalou by-elections next week.

Read source
allafrica.com /1 month ago

Kenya: Linda Mwananchi Returns to Mt Kenya Ahead of Ol Kalou By-Election

[Capital FM] Nairobi -- The ODM-affiliated Linda Mwananchi faction is set to return to the Mt Kenya region with another round of political rallies, this time targeting Nyandarua Co...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Mlimani: Gachagua kumkabidhi Uhuru ripoti kuhusu ‘ground’

MIKUTANO ya siku 45 inaoendelea nyumbani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Wamunyoro, Kaunti ya Nyeri, imeibuka kuwa jukwaa muhimu la kujadili mwelekeo wa kisiasa wa eneo...

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

Close Gachagua Ally and MP Attacked in Ol Kalou

The Kofi Annan Foundation warns that rising goonism at political rallies gives an 87 per cent probability of violence in Kenya's 2027 elections.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kenya yageuzwa ngome ya wahuni sasa wakitumiwa kutwaa ardhi, biashara na mali

KENYA inaendelea kugeuka kuwa paradiso ya wahuni wanaotumiwa kutwaa ardhi, nyumba, biashara na mali nyingine huku amri za mahakama zikipuuzwa na mamlaka zikionekana kushindwa kuwal...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Ghasia Na Uhuni Ol Kalou

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

nairobiwire.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

kenyans.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source