Jinsi uchaguzi wa Ol Kalou ulitekwa na hongo, uhuni, vitisho na ghasia
UCHAGUZI mdogo wa Ol Kalou ulioandaliwa jana ulikumbwa na ghasia, hongo, vitisho na majeraha huku viongozi mbalimbali wakilaani matukio hayo. Tume Huru ya Uchaguzi Nchini (IEBC) i...