Ufugaji wa viwandani unavyochochea athari za tabianchi
UFUGAJI wa wanyama kwa wingi katika eneo ndogo maarufu kama factory farming, unazidi kulaumiwa kwa kuchangia mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa bioanuwai (biodiversity) na afya...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Gharama Ya Ufugaji.
Fresh curated links around Gharama ya ufugaji are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
UFUGAJI wa wanyama kwa wingi katika eneo ndogo maarufu kama factory farming, unazidi kulaumiwa kwa kuchangia mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa bioanuwai (biodiversity) na afya...
Zaidi ya Sh180 bilioni zimetolewa na NMB Bank Plc kufadhili wafugaji na biashara katika mnyororo wa thamani wa mifugo, hatua inayolenga kuongeza uzalishaji wa kibiashara, ajira na...
Kupitia mradi huo, Serikali pia inawekeza katika miradi ya kuongeza thamani ya mazao na mifugo, ikiwemo ujenzi wa viwanda vidogo vya kuchakata mafuta ya alizeti na kusindika maziwa...
Tanzania na Namibia zimeingia mkataba wa ushirikiano wa miaka mitano wa kuendeleza ufugaji nyuki na utalii, huku kukiwa na mpango wa kuanzisha taasisi ya utafiti na mafunzo ya ufug...
MAAFISA wa afya ya umma wa Kaunti ya Kwale wametoa ilani ya siku 28 kwa wasimamizi wa shamba la kufugia kuku lililo katika kijiji cha Kiteje, Kaunti Ndogo ya Matuga, kushughulikia...
Wafanyabiashara na wataalamu wa mifugo wamesema machinjio yanayotumiwa kwa sasa ya Kisakasaka Mkoa wa Mjini Magharibi hayafai kwa ajili ya usalama na afya za watumiaji, hivyo wamei...
KUPANDA kwa bei ya lishe, umeme na vifaa muhimu kumetajwa kama tishio kwa ukuaji wa sekta ya ufugaji ng’ombe wa maziwa nchini. Kulingana na Bodi ya Maziwa Kenya (KDB), gharama ya...
Arusha. Zaidi ya wadau 1,000 wa kilimo, biashara, uhifadhi wa mazingira na teknolojia 1000 kutoka nchi za Afrika wanatarajiwa kukutana nchini Kwa siku tatu kujadili namna ya kulind...
MAMLAKA ya Kitaifa ya Usalama wa Viumbehai (NBA) imezitaka taasisi zinazofanya utafiti wa viumbe vilivyobadilishwa na kuboreshwa vinasaba (GMO) kuzingatia kikamilifu hatua za usala...
KATIKA maeneo kame ya Laikipia, Samburu na Isiolo ambako kwa miaka mingi wafugaji wamekuwa wakitegemea madalali kuuza mifugo yao kwa bei ya hasara, mambo yanaanza kubadilika. Leo...
KILA saa sita mchana kijiji cha Nyanguru, eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii, Mike Mose, 35, husikika akiita mbuzi wake kwa sauti kubwa. Mikononi mwake amebeba majani...
Wakulima na wafugaji nchini wametakiwa kutumia bima za kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazoweza kusababishwa na majanga mbalimbali, huku wakihimizwa kuzingatia matumizi sahi...
ALIPOKUWA bado shuleni miaka kadhaa iliyopita, Lucy Ichuga alipenda kilimo, akiwa na shauku ya kuwa mfugaji wa kuku. Baada ya ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa 2007, Ichuga alia...
Soma zaidi hapa...
Hemed ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Julai 6, 2027 katika shamba la kilimo Mtule Paje, Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kutembelea mashamba ya mpunga, kil...
Ghana’s “Nkoko Nkitinkiti” poultry revitalisation programme is a flagship intervention under the Feed Ghana agenda, designed to boost domestic poultry production and gradually redu...
JULIA Njagi anatembea kwa umakini katika shamba la majaribio ya ukuzaji wa aina mpya ya mihogo katika Shirika la Utafiti wa Masuala ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo (Kalro), Kandar...
The Government. has called on the private sector to increase investment in the production, importation and distribution of livestock vaccines as part of efforts to strengthen anima...
WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...
Balozi wa Pamba Tanzania, Agrey Mwanri amewataka wakulima kuachana na utaratibu wa kurusha mbegu ovyo mashambani na badala yake kuzingatia kanuni za kilimo bora ili kuongeza uzalis...
Wakulima katika eneo la Nyanza wameendelea kuonywa kuhusu hatari ya kutumia pembejeo feki, hatua inayolenga kuokoa maelfu ya wakulima dhidi ya hasara za kiuchumi na kuporomoka kwa...
Baraza la Famasi ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya, yenye jukumu la kusajili wataalamu wa famasi, kusimamia maadili yao pamoja na kuhakikisha wanatoa huduma kwa...
Kati ya shehena hiyo, tani 78 ni mahindi ya bisi (popcorn) yaliyoharibika, na tani nne ni bidhaa mbalimbali zilizokwisha muda wa matumizi, zikiwemo pipi na mchele.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.