Haitatusaidia kulaumiana, asema Ruto akizindua fidia ya Sh2bn kwa wahanga wa maandamano
WAHASIRIWA zaidi ya 1,000 wa ukiukaji wa haki za kibinadamu, ikiwemo ukatili wa polisi na vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi, wataanza kupokea malipo yao fidia kuanzia wiki...