El Niño hatari zaidi yaja, UN yaonya ikisema itaanza kwa kiangazi kirefu, halafu mafuriko
WENGI wanakumbuka uharibifu uliosababishwa na janga la El Niño mwaka 2023 na 2024. Takwimu zinaonyesha kuwa watu wasiopungua 245 walifariki, zaidi ya familia 78,000 ziliathirika...