Tangazo la Sifuna kuwa atwania urais latikisa ODM na Upinzani
TANGAZO la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuwa atawania urais mnamo 2027 linaendelea kubadili mwelekeo wa siasa za upinzani na ODM, huku viongozi wengi wakianza kujiunga na mrengo...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Edwin Sifuna.
Fresh curated links around Edwin Sifuna are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
TANGAZO la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuwa atawania urais mnamo 2027 linaendelea kubadili mwelekeo wa siasa za upinzani na ODM, huku viongozi wengi wakianza kujiunga na mrengo...
The Luhya Elders Forum endorsed Nairobi Senator Edwin Sifuna as its preferred opposition presidential candidate for the 2027 general election, citing his leadership skills and broa...
ODM sasa ina kibarua kudumisha umaarufu wake Magharibi mwa nchi baada ya kukamilisha mchakato wa kumwondoa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kutoka wadhifa wake kama katibu mkuu. B...
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna ameanza mchakato wa kusajili Linda Mwananchi kuwa chama cha kisiasa atakachotumia kuwania urais mnamo 2027. Washirika wa Bw Sifuna wamethibitisha...
KIKAO cha kundi la wabunge kilichojawa na vurugu usiku wa manane Jumatano kilisababisha pigo jingine kwa Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna. Baada ya kikao hicho, jana katibu huyo wa...
SENETA wa Nairobi, Edwin Sifuna anaendelea kutamba katika ulingo wa siasa. Nyota yake Sifuna inaendelea kung’aa kwenye ramani ya humu nchini kwa mwendokasi wa ajabu. Sifuna ni mw...
Nairobi Senator Edwin Sifuna has lost his position as the Senate Deputy Minority Whip. The decision comes just days after the Office of the Registrar of Political Parties (ORPP) ap...
Nairobi Senator Edwin Sifuna has pledged to avoid misleading voters with unrealistic promises as he sets his sights on the presidency in the 2027 general election. Speaking in Kiir...
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna amesema chama cha ODM kimepoteza mwelekeo wake wa kisiasa na sasa maamuzi yake yanafanywa kutoka Ikulu. Akizungumza jana akiwa na Gavana wa Siaya,...
KIFO cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kimebadilisha kwa kiasi kikubwa mwelekeo wa siasa za Kenya, huku Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna akiibuka kama mmoja wa viongozi wanaotik...
UMAARUFU unaozidi kuongezeka wa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna umeibua ushindani mkali wa kisiasa katika eneo la Magharibi, huku viongozi wanaounga mkono serikali wakizidisha juhud...
Nairobi Senator Edwin Sifuna promised to lower fuel prices if elected president, framing the move as a gesture of gratitude for public donations toward his State House bid. Speakin...
KINARA wa vuguvugu la kisiasa la Linda Mwananchi Edwin Sifuna amesema wanayo katika hifadhi yao chombo cha mawasiliano anachosema kilipatikana kwa mwanamume mmoja aliyenaswa na waf...
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema eneo la Mlima Kenya liko tayari kumuunga mkono Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, iwapo ataibuka kuwa mgombea wa pamoja wa ura...
GAVANA wa Siaya, James Orengo na Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, wameanza juhudi za kupunguza mvutano uliokuwa ukiongezeka ndani ya vuguvugu la Linda Mwananchi baada ya wiki moja...
Nairobi Senator Edwin Sifuna has rejected COTU Secretary General Francis Atwoli’s offer to mobilize resources to finance his political ambitions. Speaking during an interview on Tu...
KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amesema yuko tayari kuwa mgombea mwenza wa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna katika uchaguzi mkuu wa 2027. Hii itafanyika tu iwapo upinzani utamteua...
GAVANA wa Siaya James Orengo amemtaka Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna na wagombeaji wengine ndani ya Linda Mwananchi kukubali uteuzi wa wazi wanaposaka mwaniaji wao wa urais kueleke...
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna na washirika wake Jumanne waliendeleza juhudi zake za kusajili Linda Mwananchi kama chama cha kisiasa watakachotumia kuwania urais mwaka 2027. Viong...
This comes at a time when Sifuna's allies continue to be removed from various parliamentary committees over their allegiance to the opposition.
WIMBI la kisiasa la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kupitia vuguvugu la Linda Mwananchi limewafanya baadhi ya viongozi wakuu wa serikali kutoka eneo la Magharibi kuanza kampeni kali...
Under the Linda Mwananchi Movement, Sifuna has traversed the country campaigning against Ruto even as political campaigns intensify.
The announcement comes after Sifuna and his team raised concerns over the rejection of their application to reserve the name Linda Mwananchi Party of Kenya (LMPK).
If he goes for the top seat in the land, he’ll be the second youngest candidate after Uhuru.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.