NI RASMI: Dollarline wa UDA ashinda kiti cha ubunge cha Emurua Dikirr akimbwaga Vincent wa DCP
MWANIAJI wa UDA David Kipsang Keter ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa eneobunge la Emurua Dikirr baada ya Tume ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kukamilisha zoezi la kuthibitisha na kuhe...