Mnafeli kwa kuruhusu wahuni siasani, Matiang’i aonya Ruto na Murkomen
MGOMBEA urais wa chama cha Jubilee, Fred Matiang'i, ametoa onyo kali kwa serikali akitaka kukomeshwa kwa siasa za vurugu na matumizi ya makundi ya wahuni, akisema hali hiyo inaweza...