Gachagua abadili mikakati kuhusu kesi yake, aondoa dai la upendeleo dhidi ya majaji
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua ameondoa madai ya upendeleo dhidi ya jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu, hatua inayoashiria mabadiliko ya kimkakati huku akielekeza nguvu z...