Mwanafunzi IFM aliyeuawa aagwa, kuzikwa kesho Moshi
Mchungaji huyo amesema aliyaandaa mahubiri kwa mara ya kwanza na kuyachana kutokana na kusikia sauti ya Mungu kwamba ameyaandaa kwa hisia kali.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Chifu Wa Bomwagamo James Ombati.
Fresh curated links around Chifu wa Bomwagamo James Ombati are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mchungaji huyo amesema aliyaandaa mahubiri kwa mara ya kwanza na kuyachana kutokana na kusikia sauti ya Mungu kwamba ameyaandaa kwa hisia kali.
Mtatifikolo kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Babati kabla ya kuhamishwa kutoka Arumeru.
Askofu Mfumbusa alifariki dunia Aprili 14, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.
Soma hapa...
Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
SIASA za ngome ambazo zimekuwa zikizua utata ODM sasa zimehamia upinzani huku mirengo miwili ikilaumiana kuhusu uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Hata kabla ya Spika wa Bunge la Kitai...
Ninapenda kukutia moyo licha ya changamoto zote za kidunia tunazopitia bado ukiwa ndani ya Neno la Mungu upo salama.
LICHA ya wito kutanda kuwa mawaziri John Mbadi (Fedha) na Opiyo Wandayi (Kawi) wajiuzulu wakati wa maandamano ya kupinga bei ya juu ya mafuta wiki hii, maswali yameibuka iwapo Rais...
Soma zaidi hapa...
MHUBIRI tata Paul Mackenzie atawaita wahadhiri wa vyuo vikuu, padri wa Kanisa Katoliki, shehe wa dini ya Kiislamu na mwanasaikolojia ili kusaidia utetezi wake dhidi ya mashtaka ya...
Paroko wa Parokia ya Kagunguli, wilayani Ukerewe, amenusurika kuuawa akiwa madhabahuni baada ya kijana kuvamia ibada ya Misa Takatifu ya Pasaka akiwa na panga.
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amewataka viongozi wa dini kushirikiana kwa karibu katika juhudi za kupambana na mmomonyoko wa maadili, akisisitiza endapo...
Kesi ya mauaji inayowakabili wanamgambo yapigwa kalenda S: Tukio hilo la mauaji lilitokea Machi 20, 2026 kwa watuhumiwa hao kudaiwa kumuua Rashid Nyandonga (31), fundi simu na m...
GAVANA wa Siaya James Orengo amezima uvumi kuhusu mvutano wa kibinafsi kati yake na Oburu Oginga, akisisitiza kuwa kukosoa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kunatokana na...
MHUBIRI Paul Mackenzie amebadilisha mkakati wake wa kujitetea dhidi ya mashtaka ya mauaji ya Shakahola, akitangaza wazi kwamba atategemea ushahidi wa wataalamu kutoka nyanja zisizo...
NAKALA za korti na majibizano hadharani imeanika mkondo wa usaliti, vita vya ndani kwa ndani na biashara ya fungu la kumi, huku waumini wakigeuzwa vinyago na wachungaji wanaozidi k...
UHUSIANO wa karibu unaochipuka chini kwa chini baina ya aliyekuwa Mbunge wa Budalang’i Ababu Namwamba na ODM, umeibua maswali iwapo waziri huyo wa zamani huenda analenga kuwania ki...
During the funeral service on Wednesday, Gachagua accused Ichung'wah of orchestrating chaos through hired goons at rallies organised by the opposition, especially in the Mount Keny...
WAZIRI wa Fedha John Mbadi anaonekana kuimarisha juhudi za kudhibiti siasa za Luo Nyanza na kuamua mwelekeo wa ODM baada ya mauti ya marehemu Raila Odinga. Akiwa kati ya wanasiasa...
Soma zaidi hapa...
Mganga wa kienyeji, Said Mkomwa (31), Saidini, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam akikabiliwa na shtaka moja la mauaji.
SENETA Okiya Omtatah na kiongozi wa chama cha DAP-Kenya, Eugene Wamalwa, wamejikuta katika mgogoro wa kisheria kuhusu udhibiti wa uongozi wa upande wa wachache katika Bunge la Kaun...
KINARA wa ODM Dkt Oburu Oginga amekuwa akijirejelea kama ‘kiongozi wa vijana’ kudhihirisha kuwa uongozi wake unamakinikia masuala ya vijana na changamoto zinazowakumba. Licha ya u...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.