Pigo kwa chifu baada ya kuvuliwa wadhifa na korti kwa kuwa na alama ya D- KCSE
KILICHOONEKANA kuwa kilele cha safari ya utumishi kwa Lea Kalondu Ngutu katika utawala wa kitaifa, kiligeuka kuwa pigo baada ya mahakama kubatilisha uteuzi wake kuwa Chifu wa eneo...