Wamiliki wa malori wapandisha gharama za usafirishaji kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta
Chama cha Wamiliki wa Malori nchini, (TAK), kimeagiza wanachama wake kuongeza gharama za usafirishaji kwa asilimia 30, kikitaja kupanda kwa bei ya mafuta kufuatia ongezeko la...