Wajumbe wa Bodi ya Kahawa wafanya ziara Kagera, wahimiza soko la ushindani
Wajumbe wa bodi ya Kahawa wametembelea kiwanda cha kuchakata kahawa cha Amimza kinachozalisha takribani tani 18,000 ya zao hilo.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Chama Cha Wakuzaji Nafaka (Cereal Growers Association).
Fresh curated links around Chama cha Wakuzaji Nafaka (Cereal Growers Association) are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Wajumbe wa bodi ya Kahawa wametembelea kiwanda cha kuchakata kahawa cha Amimza kinachozalisha takribani tani 18,000 ya zao hilo.
Wakati matumaini yakirejea kwa wakulima wilayani Kyela kufuatia bei ya cocoa kupanda, wadau na Serikali wametaja mikakati na mipango kuhakikisha zao hilo linaendelea kupaa, huku wa...
Kwa mara nyingine tena wakulima katika eneo la Nyanza wamepokea hamasisho kuhusu namna ya kukabiliana na pembejeo feki. Hatua hii inalenga kuwaepusha na hasara zinazotokana na u...
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amehoji iwapo Serikali itakuwa tayari kupitia upya mfumo wa bei kwenye minada ya korosho, kutokana na malalamiko ya namna bei zinavyopatikana.
Wakaangaji wa kahawa nchini wameiomba Serikali kuhakikisha kahawa inayouzwa katika masoko mbalimbali ya kimataifa inawekwa nembo ya “Made in Tanzania” kwa lengo la kuitangaza zaidi...
Wakulima katika eneo la Nyanza wameendelea kuonywa kuhusu hatari ya kutumia pembejeo feki, hatua inayolenga kuokoa maelfu ya wakulima dhidi ya hasara za kiuchumi na kuporomoka kwa...
Amesema utambuzi huo utafungua milango kwa wanachama kupata mikopo pamoja na programu za kuwawezesha kukuza biashara zao, hatua ambayo pia itachochea ajira kwa Watanzania wengine.
Serikali imewataka wakulima wa kahawa nchini kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake kuzingatia kilimo cha kisasa chenye tija ili kuongeza uzalishaji, kuboresha ubora wa kahaw...
Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao (Mamcu) kinachohudumia wakulima wa wilaya za Mtwara, Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara, kimezindua mradi wa magari ya kubebea mizigo wenye thamani...
Mkoa wa Iringa umepanga kufanya maonyesho ya kilimo kuanzia Julai 13 hadi 19, 2026 katika viwanja vya Kihesa Kilolo ili kuinua sekta ya kilimo kwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya c...
Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa baadhi ya mbegu zilizoboreshwa zina uwezo wa kuhimili ukame, magonjwa pamoja na kuongeza mavuno kwa hekta, huku aina kadhaa zilizofanyiwa utafiti...
SEKTA ya majanichai nchini imeonyesha ukuaji kwa kiasi kikubwa, ikiandikisha thamani ya Sh218.79 bilioni sokoni katika bajeti ya mwaka uliopita. Ukuaji huo umehusishwa na mikaka...
[Daily News] Dar es Salaam -- FARMERS in major food producing regions are set to benefit from subsidised farming equipment and modern storage technologies following a new partnersh...
Kufuatia uwekezaji wa Serikali katika kuboresha miundombinu ya sekta ya kilimo, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, inatarajia kuzalisha tani 430,452 za mpunga katika ms...
Wakati changamoto ya uhaba wa malisho ikiendelea kuathiri uzalishaji wa mifugo, Serikali na wadau wake wameibuka na mkakati mpya wa kuhamasisha wafugaji kuanzisha mashamba ya malis...
Benki ya Ushirika (Coop Bank) imeeleza mkakati wa kukuza uchumi jumuishi katika mkakati wa 2026/30 huku ikiwezesha utoaji wa mikopo yenye thamani ya zaidi ya Sh101 bilioni katika k...
JUNCAO ni teknolojia mpya ya nyasi za mifugo ambayo taifa likiikumbatia kikamilifu huenda itaipa sekta ya ufugaji Kenya afueni hasa kipindi hiki bei ya malisho inazidi kuwa ghali....
KWA miaka mingi, wakulima Kenya wamekuwa wakitegemea majembe ya mikono na nguvu zao wenyewe kuendeleza shughuli za kilimo. Kuanzia kupanda, kupalilia, kunyunyizia mimea dawa ha...
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameitaka Serikali kuongeza nguvu katika kilimo cha kisasa na ujenzi wa viwanda, ili kukuza uchumi wa nchi pamoja na kuongeza ajira kwa wa...
WAKENYA wanaotafuta njia mbadala za kukuza fedha zao mbali na akaunti za kawaida za benki sasa watapata fursa mpya kupitia mifuko ya uwekezaji iliyosajiliwa rasmi na Mamlaka ya Mas...
Soma zaidi hapa...
Benki ya Ushirika (Coop Bank) imejipanga kwa kasi kujiweka katika nafasi ya juu kwenye sekta ya huduma za kifedha nchini, ikilenga kuchochea ujumuishi wa kifedha na kukuza uchumi j...
ANTHONY Ngatia, mkulima barobaro kutoka Kaunti ya Kiambu, amekuwa akikuza stroberi tangu mwaka 2024, na kuifanya matunda hayo kuwa chanzo chake kikuu cha mapato. Kwa muda, mkulima...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.