Kauli za wabunge kuhusu gharama za kuwaona madaktari zaiibua MAT
Kauli ya gharama za kumuona daktari kwa wagonjwa, imewaibua madaktari na kueleza kinachoendelea huku wakionya siasa zisiingizwe kwenye afya za watu.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Chama Cha Madaktari.
Fresh curated links around Chama cha Madaktari are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Kauli ya gharama za kumuona daktari kwa wagonjwa, imewaibua madaktari na kueleza kinachoendelea huku wakionya siasa zisiingizwe kwenye afya za watu.
Kikao hicho kinatarajiwa kufanyika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Amesema katika mkutano huo, viongozi mbalimbali wa Kanda na Mkoa wa Mbeya kwa ujumla watakuwapo huku wakiwasilisha agenda nne zenye uzito kwa mustakabali wa Taifa na kwamba wamejip...
Baraza la Famasi ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya, yenye jukumu la kusajili wataalamu wa famasi, kusimamia maadili yao pamoja na kuhakikisha wanatoa huduma kwa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kifo cha aliyekuwa kada wake, Dk Medard Mutungi, aliyefariki dunia leo, Aprili 2026 jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Benjamin Mkapa imepokea madaktari bingwa bobezi watano kutoka China ili kuboresha utoaji wa huduma za kibingwa kwa Watanzania huku magonjwa lengwa yakitajwa ni Moyo ub...
Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameibua mjadala mzito bungeni baada ya kudai kuwepo kwa mtandao wa watu wenye masilahi binafsi wanaokwamisha uwekezaji wa viwanda vya dawa nchi...
Mwenyekiti wa Chama cha Dermokrasia na maendeleo Kanda maalum ya Serengeti Lucas Ngoto akizungumza katika hafla ya kufungua rasmi shughuli za kichama baada ya zuio, iliyofanyika ka...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, kimeeleza kusikitishwa na kusuasua kwa ujenzi wa miradi miwili ya kimkakati, huku kikitoa msimamo wake kuhusu mchakato w...
Waziri huyo amesema waganga wakuu wa mikoa na halmashauri watakaoshindwa kusimamia upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya watachukuliwa hatua kali za kinidhamu, ikiwa ni pamoja...
Majuzi hiki chama kisemekanacho kuwa ni cha kuwatetea na kuwasemea waajiriwa kuhusu matatizo yao, kimefanya jambo moja kubwa ambalo hakijawahi kulifanya kwa huyu mstaafu wetu na we...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Charles Kichere imebaini kuwepo kwa uhaba mkubwa wa madaktari wa mazoezi ya viungo na wauguzi katika Taasisi ya Mifup...
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ametangaza mkakati mpya wa Serikali wa kuanzisha mfumo wa kielektroniki wa uandishi na utoaji wa dawa (e-Prescription), hatua inayolenga kukabil...
Afya ni msingi wa maendeleo, na huduma za upasuaji ni sehemu muhimu ya huduma hizi adhimu.
Mbeya. Siku chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua mikutano yake mkoani Mbeya huku kikieleza changamoto zinazowakabili wananchi, Chama cha Mapinduzi (...
WALIMU nchini wanasema wanalazimika kujilipia pesa za matibabu licha ya kulipa bima ya matibabu chini ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) kila mwezi. Mwezi mmoja baada ya serikali k...
Soma zaidi hapa...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kufungua na kushuhudia mkutano mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaofanyika kesho Aprili 22, 2026 katika...
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa saratani katika Hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH).
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.