Chad kutuma wanajeshi 1,500 nchini Haiti punde baada ya polisi wa Kenya kuondoka
N’DJAMENA, Chad: CHAD sasa inapanga kuwatuma wanajeshi 1,500 kusaidia kurejesha amani Haiti, taifa ambalo limetawaliwa na magenge. Afisi ya Rais iliandika barua kwa wabunge Jumat...