Itakuwa kibarua ODM kuwika ngome ya Mulembe baada ya kumtimua Sifuna
ODM sasa ina kibarua kudumisha umaarufu wake Magharibi mwa nchi baada ya kukamilisha mchakato wa kumwondoa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kutoka wadhifa wake kama katibu mkuu. B...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Bw Junet Mohamed Na Mkurugenzi Mtendaji Wa Odm Oduor Ong'wen.
Fresh curated links around Bw Junet Mohamed na Mkurugenzi Mtendaji wa ODM Oduor Ong'wen are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
ODM sasa ina kibarua kudumisha umaarufu wake Magharibi mwa nchi baada ya kukamilisha mchakato wa kumwondoa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kutoka wadhifa wake kama katibu mkuu. B...
WAZIRIwa Vyama vya Ushirika, Wycliffe Oparanya ameibuka chaguo bora ODM kwa wadhifa wa mgombea mwenza wa urais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, baada ya miezi kadhaa ya mashauriano...
BAADHI ya viongozi wa ODM jijini Nairobi wamekataa wazo la kugawana nyadhifa za kisiasa na UDA kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027, wakisisitiza kuwa ODM ndiyo inafaa kutoa mgombeaji wa...
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna amesema chama cha ODM kimepoteza mwelekeo wake wa kisiasa na sasa maamuzi yake yanafanywa kutoka Ikulu. Akizungumza jana akiwa na Gavana wa Siaya,...
MVUTANO kuhusu nani atakuwa Naibu Rais iwapo Rais William Ruto atashinda muhula wa pili uliibuka katika kikao cha faragha cha viongozi wa Kenya Kwanza na ODM mjini Naivasha Jumatat...
KAULI ya Kinara wa ODM, Dkt Oburu Oginga kuwa hakuna mwanasiasa atakayening’inia koti lake katika uteuzi wa chama na kuwa kutakuwa na uteuzi huru inastahili kuandamana na vitendo....
KIONGOZI wa vuguvugu la Linda Mwananchi, Bw James Orengo, amemkaribisha rasmi aliyekuwa Waziri wa Masuala ya Jinsia, Bi Aisha Jumwa, kujiunga na upinzani katika juhudi za kumuondoa...
BAADHI ya viongozi wa ODM katika Kaunti ya Nairobi wamewataka wafuasi wao wasishiriki maandamano ya Saba Saba ambayo yanapangwa kufanyika hapo kesho. Wakiongea Nairobi Jumapili,...
WAZIRI wa Fedha, John Mbadi amesema hataacha kushiriki siasa za ODM licha ya shinikizo kuwa maafisa wa serikali wajiepushe na siasa za moja kwa moja kuelekea uchaguzi wa 2027. B...
UAMUZI wa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kupinga mahakamani hatua ya ODM kumuondoa katika wadhifa wa Katibu Mkuu, unatazamwa na wachanganuzi wa siasa kama mkakati wa kumpa muda, ku...
KIONGOZI wa ODM Dkt Oburu Odinga amemkosoa vikali Gavana wa Siaya James Orengo kwa madai ya kupuuza utoaji wa huduma kwa wananchi huku akijikita zaidi katika siasa za kitaifa na ma...
KATIBU Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna, amekanusha madai kwamba anafadhiliwa kisiasa na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta ili kudhoofisha utawala wa Rais William Ruto huku uchaguzi mkuu wa mwa...
KIFO cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kimebadilisha kwa kiasi kikubwa mwelekeo wa siasa za Kenya, huku Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna akiibuka kama mmoja wa viongozi wanaotik...
CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) katika Kaunti ya Nairobi kimeanzisha kampeni ya kuimarisha umaarufu wake mashinani kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Hii ni siku chache...
KIONGOZI wa ODM, Dkt Oburu Oginga, amewaonya wawaniaji wanaodhani watapata tikiti ya moja kwa moja akisema lazima wajitetee kwa raia kupitia utendakazi wao. Dkt Oginga amesema k...
VUGUVUGU la Linda Mwananchi linazidi kubadili sura ya siasa nchini huku likiwavutia wanaowania ugavana kutoka maeneo mbalimbali ya Kenya. Kilichoanza kama jukwaa la viongozi wal...
BAADA ya kufanya mikutano iliyofanikiwa katika kaunti za Bungoma na Trans Nzoia wiki mbili zilizopita, viongozi wa vuguvugu la Linda Mwananchi sasa wamehamishia kampeni zao katika...
MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro na baadhi ya wanasiasa wa ODM wamejipata katika hali ngumu kisiasa baada ya kushutumiwa kama viongozi vuguvugu ambao hawaegemei mrengo wa serikali ama...
SENETA wa Nairobi, Edwin Sifuna anaendelea kutamba katika ulingo wa siasa. Nyota yake Sifuna inaendelea kung’aa kwenye ramani ya humu nchini kwa mwendokasi wa ajabu. Sifuna ni mw...
CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinakabiliwa na kazi ngumu kudumisha ubabe wake jijini Nairobi katika uchaguzi wa 2027 baada ya kifo cha kigogo Raila Odinga. Tangu 2005...
CHAMA cha ODM sasa kinapanga kumng'oa Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi katika wadhifa wa mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji wa Kaunti na Hazina Maalum ya Seneti (CPIC), wiki moja tu...
RAIS William Ruto jana alisema serikali yake itaendelea kutekeleza miradi ya mabilioni ya pesa Magharibi mwa nchi huku wabunge wanaounga serikali yake wakiahidi kuwa eneo hilo lita...
KIKAO cha kundi la wabunge kilichojawa na vurugu usiku wa manane Jumatano kilisababisha pigo jingine kwa Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna. Baada ya kikao hicho, jana katibu huyo wa...
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna anatarajiwa kuongoza wimbi la viongozi kujiondoa katika chama cha ODM baada ya viongozi wa jamii ya Waluhya wanaohusishwa na mrengo wa Linda Mwananch...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.