Latest updates for Biashara Ya Ufugaji Ng'ombe
Fresh curated links around Biashara ya ufugaji ng'ombe are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Mbuzi, kondoo wapaisha mauzo ya nyama nje
- Aliacha bodaboda kuzamia ufugaji wa mbuzi wa nyama
- Mpango wa chakula cha mifugo kupunguza gharama za uzalishaji
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Aliacha bodaboda kuzamia ufugaji wa mbuzi wa nyama
KILA saa sita mchana kijiji cha Nyanguru, eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii, Mike Mose, 35, husikika akiita mbuzi wake kwa sauti kubwa. Mikononi mwake amebeba majani...
Mpango wa chakula cha mifugo kupunguza gharama za uzalishaji
KUPUNGUZA gharama ya chakula cha mifugo, kuongeza uzalishaji wa ndani kwa ndani wa malighafi na kutumia teknolojia mpya, ni miongoni mwa mikakati inayolenga kuongeza uzalishaji wa...
Wanaunda jibini linalouzwa zaidi ya Sh100, 000
MWAKA 1979, waanzilishi wa Brown’s Food Company waliamua kujaribu bahati yao katika sekta ya maziwa wakianza na ng’ombe wawili pekee. Zaidi ya miongo minne baadaye, jaribio hilo li...
Mfumo wa kidijitali kusaidia wafugaji 30,000 wa ng’ombe wa maziwa
WAKULIMA wa miradi midogo ya ng’ombe wa maziwa watanufaika na mpango mpya wa kidijitali unaolenga kuwasaidia kupata huduma za kifedha, masoko rasmi na mikopo nafuu kwa kujenga reko...
Wakili anavyobadili maisha ya wafugaji maeneo kame
KATIKA maeneo kame ya Laikipia, Samburu na Isiolo ambako kwa miaka mingi wafugaji wamekuwa wakitegemea madalali kuuza mifugo yao kwa bei ya hasara, mambo yanaanza kubadilika. Leo...
NIKWAMBIE MAMA: Mkulima na mfugaji ni gego na ufizi, havitengani
Soma zaidi hapa...
Chakula maalum kuokoa mifugo wakati wa kiangazi
HUKU kiangazi na ukame ukiendelea kuathiri wakulima hasa maeneo kame na nusu-kame (ASAL), teknolojia ya uongezaji malisho thamani kurefusha muda imegeuka kuwa tegemeo kwa wafugaji....
Wakulima walalamikia mifugo kulishwa mazao yao mashambani
Wakulima katika Kitongoji cha Sanya Line A, Kijiji cha Mabogini, Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kukithiri kwa vitendo vya uvamizi wa mifugo katika mashamba yao, tatizo wal...
Pagale la Uhindini linavyowatoa vijana kimaisha kwa biashara ya karanga
Soma zaidi...
Bei ya mahindi yaanza kupanda baada ya mavuno duni Bonde la Ufa
BEI ya mahindi imepanda kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Ufa kutokana na mavuno duni yaliyosababishwa na mvua isiyotabirika. Hali hii inazua hofu ya ongezeko zaidi la...
Zanzibar inavyoanza kujitegemea uzalishaji wa nyama, mboga na viungo
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutekeleza mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo na mifugo, hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa kuagiza mazao na bidhaa za mifu...
Ujuzi wake wa uchinjaji kuku kwa ubora wa juu umemdumishia soko tangu enzi za Corona
USTAHIMILIVU, ujuzi wa kuchinja na ukwasi wa kutambua hitaji la soko zimekuwa silaha kibindoni iliyomwezesha Douglas Sobera, 34, kubadili changamoto ya janga la Corona kuwa biashar...
Serikali: Wakulima wazalishe kwa kuzingatia mahitaji ya soko
Serikali imewataka wakulima, wafugaji na wavuvi nchini kubadili mfumo wa uzalishaji kwa kuanza kutafuta taarifa za mahitaji ya soko kabla ya kuanza uzalishaji, ikisema utaratibu wa...
Mfumo wa kidijitali kufungua masoko ya mikunde
Wakulima wa mazao ya jamii ya mikunde nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa kidijitali utakaowaunganisha na wanunuzi, wafanyabiashara na wadau wa sekta hiyo, huku ukiwawez...
Watengenezaji wa chakula cha mifugo wahamasisha kilimo cha mahindi ya manjano kuziba pengo la malighafi
MABADILIKO ya tabianchi, ukame wa muda mrefu na mvua zisizotabirika vinaendelea kuathiri uzalishaji wa mazao nchini Kenya, hali inayowasukuma watengenezaji wa chakula cha mifugo ku...
Vikwazo kukumbatia mfumo wa bayoteknolojia vyazua wasiwasi kuhusu usalama wa chakula cha mifugo
LICHA ya shinikizo linaloongezeka la kupunguza gharama za ufugaji na kuhakikisha upatikanaji wa malighafi ya chakula cha mifugo, wataalamu wanasema taarifa potovu, changamoto za se...
Kiini kupanda kwa bei ya sukari chaanikwa
Hali hiyo imeongeza gharama za maisha na kupunguza uwezo wa wananchi kununua bidhaa hiyo muhimu.
Wizara ya Fedha yatakiwa kuondoa VAT kwenye mitambo na mashine za uchakataji mazao
WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...
Bei ya sukari yapaa, wananchi walalama, sababu yatajwa
Soma hapa...
Jinsi ya kulima maparachichi ya masoko ya ng’ambo
KILIMO cha maparachichi kimekuwa miongoni mwa biashara zenye faida kubwa nchini Kenya kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matunda hayo katika masoko ya ndani na nje ya nchi....
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.