Latest updates for Bei Ya Mafuta

Fresh curated links around Bei ya mafuta are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Bei za petroli, dizeli zapaa Zanzibar
  • Tanzania yaahidi kukabiliana ongezeko bei ya mafuta
  • Bei ya mafuta yazidi kung’ata, usafiri wa umma wapungua

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Bei za petroli, dizeli zapaa Zanzibar

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza bei za mafuta kwa mwezi Mei 2026 zitakazoanza kutumika kuanzia leo Alhamisi Mei 7, 2026.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Tanzania yaahidi kukabiliana ongezeko bei ya mafuta

Mafuta ya rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam, watalazimika kuongeza Sh956 kwa kila lita moja ya petroli baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka sh2,864.

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Bei ya mafuta yazidi kung’ata, usafiri wa umma wapungua

Soma zaidi...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Hii hapa bei mpya ya mafuta, dizeli yawekewa ruzuku

Katika toleo la Aprili, Petroli ilipanda kwa zaidi ya Sh900 kwa lita.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Petroli, dizeli yapanda kwa Sh500 Z’bar, mafuta ya ndege yashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza bei mpya za mafuta, ambapo lita moja ya petroli na dizeli imeongezeka kwa wastani wa Sh500. Wakati bei...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mwigulu ahitimisha bajeti ofisi yake, kuhusu mafuta kimya kinene

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amehitimisha bajeti yake kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2026/27, huku suala la bei ya mafuta likiwa si miongoni mwa mambo yaliyopata jawabu.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Uhaba wa mafuta waanza kuripotiwa maeneo mbalimbali nchini

MAENEO kadhaa nchini yanakabiliwa na uhaba wa mafuta huku ikihofiwa kwamba wafanyabiashara wanahodhi bidhaa hiyo. Kero hiyo inayohusishwa na utatizwaji wa soko la dunia huku tahar...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Hofu yaibuka kwamba wauzaji wanahodhi mafuta baadhi wakiuza hadi Sh450 kwa lita

LITA moja ya petroli inauzwa Sh450 katika miji ya Ilbisil na Mali Tisa, Kaunti ya Kajiado, kufuatia madai kwamba baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta wanahodhi bidhaa hiyo, hali...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Ni kuhangaika huku bei ya mafuta ikikadiriwa kuendelea kupanda zaidi

KUNA Kuna uwezekano wa bei ya dizeli kupanda zaidi hadi Sh300 kwa lita katika miezi michache ijayo kufuatia tahadhari kuhusu kupanda kwa gharama ya usafirishaji wa mafuta pamoja na...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mwigulu ataja mkakati wa Serikali kukabili uhaba na bei ya mafuta

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kutokuwa na hofu kuhusu suala la mafuta akisema Tanzania ipo macho na itahakikisha hakutokei madhara ya kukosekana kwa mafuta.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mambo saba kupunguza makali ya bei ya mafuta

Wabunge wametoa ya moyoni kuhusu suala la mafuta wakitaja mambo saba ambayo yanaweza kupunguza makali hayo ili kutoa nafuu ya maisha kwa wananchi.

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Kilio bei ya mafuta chagusa usafiri wa baiskeli

Kupanda kwa nauli za mabasi ya abiria mijini na bodaboda, kumefungua milango ya neema kwa wadau wa usafirishaji kupitia baiskeli hasa katika mikoa ambayo usafiri huo unatumika kube...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Chadema yataka hatua za haraka sakata la kupanda kwa bei ya mafuta

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushangazwa na kile kilichokiita kutochukuliwa kwa hatua za haraka na mamlaka husika katika kudhibiti kupanda kwa bei ya mafut...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Tathmini: Hapa kwa mafuta, ili kupunguza bei, serikali lazima isahau ushuru wa Sh74 kila lita

USHURU wa mafuta na faida za kampuni za uuzaji mafuta sasa zinatarajiwa kuangaziwa kwa makini huku serikali ikipambana na muda kupunguza bei ya mafuta ndani ya siku saba zijazo ili...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Daladala Mbeya zagoma, wananchi walia nauli kupanda

Kupanda kwa bei ya mafuta hususani petroli, makali yameanza kung'ata jijini Mbeya baada ya usafiri wa daladala kuweka 'mgomo' kutoa huduma huku wananchi wakilia na nauli za bajaji...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Serikali yapunguza viwango vya ubora wa mafuta ‘kuzuia uhaba’

SERIKALI imetangaza kupunguza viwango vya ubora wa mafuta yanayouzwa nchini, kwa kuruhusu madini hatari ya Sulphur kuongezwa kwa kipindi cha miezi sita. Katika taarifa iliyotole...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

MAONI: Kashfa za mafuta ni za wajuanao kwa vilemba wanavyovuana wakitofautiana

KASHFA za mafuta nchini Kenya si geni; zinaanika jinsi sekta hii muhimu imetekwa na mitandao ya maslahi ya kibiashara, ushawishi na mianya katika udhibiti inayotumiwa na wenye nguv...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ni kubaya, kaza mshipi wako; bei za mafuta zaweza kuleta masaibu mapya ya kiuchumi

WAKENYA waliamkia wimbi jipya la masaibu kiuchumi hapo jana huku wakianza kuhisi athari za bei za mafuta kuongezwa, hali iliyosababisha nauli, bei ya vyakula, na gharama ya huduma...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Baada ya gesi, sasa saruji bei juu

Soma hapa..

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Serikali kutumia ruzuku ya Sh17 bilioni kulinda Wakenya dhidi ya bei ya juu ya mafuta

SERIKALI inapanga kutumia ruzuku ya Sh17 bilioni kuwalinda Wakenya kutokana na ongezeko la bidhaa za mafuta katika siku 60 zijazo endapo vita vya Mashariki ya Kati vitaendelea zaid...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Bilionea Aliko Dangote awazia kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta Kenya

BILIONEA wa Nigeria Aliko Dangote anatathmini kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta chenye uwezo wa kuchakata mapipa 650,000 kwa siku hapa nchini. Kulingana na taarifa ya gazeti la...

Read source
thecitizen.co.tz /1 month ago

East Africa to build oil refinery in Tanzania with Dangote's support

Kenya and Uganda are in talks to establish a joint oil refinery in Tanzania, in a move aimed at harnessing the region’s crude oil resources and strengthening energy security.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

SMZ yatoa neno ushirikishwaji wananchi utafiti wa mafuta, gesi

Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikijiandaa kuanza shughuli za ukusanyaji wa takwimu za mafuta na gesi asilia kwa teknolojia ya 3D seismic survey, wananchi wa maeneo...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Maafisa watatu wakuu kujiuzulu kutokana na kashfa ya mafuta yenye thamani ya Sh4.8b

MAAFISA wanne wakuu kutoka Wizara ya Kawi, Mamlaka ya Udhibiti wa Kawi na Petroli (EPRA) na Kampuni ya Mabomba ya Kenya (KPC) kujiuzulu kutokana na kashfa ya mafuta yenye thamani y...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Bei Ya Mafuta

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source

thecitizen.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source