Latest updates for Bajeti Ya Kwanza Ya Mbadi
Fresh curated links around Bajeti ya kwanza ya Mbadi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Mbadi: Sikutoa ahadi hewa kuhusu ushuru wa PAYE, tutajumuisha kipengele baada ya maoni ya umma
- Maelekezo 11 ya Dk Mwigulu akiwasilisha bajeti ya Sh12.5 trilioni
- Wawakilishi wachachamaa fedha kiduchu ofisi ya Makamu wa Kwanza
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Maelekezo 11 ya Dk Mwigulu akiwasilisha bajeti ya Sh12.5 trilioni
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya...
Wawakilishi wachachamaa fedha kiduchu ofisi ya Makamu wa Kwanza
Fedha kiduchu zinazotengwa na kutolewa kwa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Taasisi zake zimeibua mjadala kwa wawakilishi wakiitaka Serikali kuangalia upya mipango yake kwani t...
Katiba waomba Sh775 bilioni vipaumbele 14, ikiwemo elimu ya Katiba
Jumla ya Sh775 bilioni zimeombwa na Wizara ya Katiba katika mwaka wa fedha 2026/27, huku vipaumbele 14 vitakavyotekelezwa kwa wakati huo, ikiwemo kufungua kesi tano za uvunjwaji wa...
Ufinyu wa bajeti unavyoitesa ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
Wakati Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (OMKR) ikianisha vipaumbele vitano vya kutekeleza mwaka 2026/27 na kuomba kuidhinishiwa Sh35.558 bilioni, ufinyu na upatikanaji wa fedha us...
Hemed ataja hatua za kudhibiti mfumko wa bei akiwasilisha makadirio ya bajeti
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Sh135.676 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27, huku ikiainisha mikakati ya kudhibiti mfumko wa bei na kui...
TADB yatoa gawio la Sh8.38 bilioni serikalini
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetoa gawio la Sh8.38 bilioni kwa Serikali, huku faida, mizania na kiwango cha mikopo vikiongezeka.
Ni wiki ya madaraja na malipo kwa makandarasi
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Mbadi aonekana kujipanga kuwa kigogo Nyanza baada ya mauti ya Raila
WAZIRI wa Fedha John Mbadi anaonekana kuimarisha juhudi za kudhibiti siasa za Luo Nyanza na kuamua mwelekeo wa ODM baada ya mauti ya marehemu Raila Odinga. Akiwa kati ya wanasiasa...
Wizara yaja na mkakati kuongeza uzalishaji umeme, maji
Wizara ya Maji, Nishati na Madini imepanga kutekeleza bajeti yake ya Sh475.39 bilioni kwa kuzingatia vipaumbele vinane vikiwamo kuimarisha mtandao wa maji, uzalishaji wa umeme na k...
Wataalamu waeleza chanzo, athari bajeti kiduchu Ofisi ya Makamu wa Kwanza
Wakati fedha kidogo zikitengwa kwa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, wachambuzi wa kisiasa na uchumi wametoa tahadhari kuwa bajeti tegemezi inakwamisha utekelezaji wa majukumu mak...
Wadau watoa maoni Rasimu ya Bajeti ya SMZ 2026/27
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiwa imetoa Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2026/27, wadau wa sekta binafsi wameonesha ubora na upungufu wa rasimu hiyo.
Sh405 bilioni kutekeleza vipaumbele sita Wizara ya Afya
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
Mambo ya Nje waanika vipaumbele wakiomba Sh359 bilioni
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.
SMZ kutumia Sh1 trilioni kuimarisha huduma za afya mwaka 2026/30
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Benki ya Dunia yasisitiza matumizi sahihi fedha mradi wa Pamoja
Mradi wa Pamoja unafadhiliwa na WB kwa kipindi cha miaka mitano (2024/29) na utagharimu Sh33 bilioni.
Mbadi Allocates Ksh 50B to Ruto's Key Project Amid Concerns
The allocation will likely impact President Rutos' key project, owing to the fact that it is one of the most monumental projects under his presidency.
Mbunge Ado akutana na magumu bungeni, azua hoja
Hii ni mara ya pili kwa mbunge huyo kukumbana na hali hiyo, baada ya tukio kama hilo kujitokeza alipokuwa akichangia hotuba ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, kuhusu maombi ya fed...
Ahadi ya Mbadi ya kupunguza ushuru wa PAYE yageuka hewa; haiko kwenye Bajeti 2026
WAZIRI wa Fedha, John Mbadi ameghairia nia kuhusu ahadi ya kupunguza ushuru wa mshahara kwa wafanyakazi walioajiriwa wanaolipwa chini ya Sh50,000. Kwenye Mswada wa Fedha wa 2026,...
Sh5.397 bilioni kujenga nyumba ya makazi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba
Soma hapa...
Wizara ya Elimu Zanzibar yatengewa Sh1.1 trilioni kutekeleza vipaumbele sita
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA), kwa mwaka wa fedha 2026/27, inahitaji Sh1.1 trilioni katika kutekeleza mpango wa maendeleo wa sekta ya elimu, huku ikija na vip...
Wabunge wataka Sh200 bilioni ziende Wizara ya Vijana
Wabunge wametaka njia rahisi ya upataji mikopo kwa vijana ikiwemo unafuu wa masharti, dhamana, usimamizi, kutokuundwa kwa vikundi pamoja na utolewaji wa elimu.
Utitiri masharti ya mikopo kwa vijana watikisa Bunge
Fedha zinazozungumziwa na wabunge hao ni zile Sh200 bilioni zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya uwezeshaji wa vijana na kugawanywa katika wizara za madini, kilimo, mifugo, vijana...
Mwigulu ahitimisha bajeti ofisi yake, kuhusu mafuta kimya kinene
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amehitimisha bajeti yake kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2026/27, huku suala la bei ya mafuta likiwa si miongoni mwa mambo yaliyopata jawabu.
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.