Bajeti ngumu ya Ruto yaonyesha serikali itaendelea kutegemea mikopo
KENYA inaanza mwaka mpya wa kifedha mwezi ujao ikiwa na pengo la zaidi ya Sh1.1 trilioni katika bajeti, hali inayoonyesha pengo kubwa kati ya mapato yanayokusanywa na serikali na k...