Latest updates for Azma Ya Kalonzo Kuwa Rais

Fresh curated links around Azma ya Kalonzo kuwa Rais are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Kalonzo arai ngome yake isimwangushe: ‘Chukueni kura niweze kuwa ‘The 6th”
  • Vinara wa upinzani sasa wasema Kalonzo ataweza kumenyana na Ruto
  • Kalonzo ashinikizwa amteue Sifuna mgombea mwenza 2027

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kalonzo arai ngome yake isimwangushe: ‘Chukueni kura niweze kuwa ‘The 6th”

KIONGOZI wa Wiper Patriotic Front Kalonzo Musyoka ameongeza kasi ya kampeni zake katika eneo la Ukambani kwa kuwahimiza wakazi kujitokeza kwa wingi kujisajili kama wapiga kura, aki...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Vinara wa upinzani sasa wasema Kalonzo ataweza kumenyana na Ruto

KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, jana alipigwa jeki kisiasa baada ya muungano wa upinzani kupigia debe azma yake ya kuwania Urais mwaka 2027. Vinara hao, waliofanya...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kalonzo ashinikizwa amteue Sifuna mgombea mwenza 2027

WAJUMBE wa chama cha Wiper Patrotic Front katika eneo la Pwani, wamemhimiza kinara wao Kalonzo Musyoka amteue Seneta wa Nairobi, Bw Edwin Sifuna, kuwa mgombea mwenza katika uchaguz...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Sababu za Gachagua ‘kumuuzia’ Kalonzo Jicho Pevu

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kuwa upinzani umefikia makubaliano ya pamoja ya kumuidhinisha Mbunge wa Nyali Mohammed Ali kuwania kiti cha ugavana kaunti ya Mombasa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 days ago

Jamii ya Mulembe nao wasema watadai kiti cha Unaibu Rais kuelekea kura 2027

VIONGOZI kutoka Magharibi mwa Kenya sasa wanamtaka Rais William Ruto amchukue Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi au Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula kama mgombea-mwenza...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Upinzani waunga tikiti ya Kalonzo-Matiang’i kubwaga Ruto 2027, utafiti wasema

WAFUASI wa upinzani wanapigia debe tikiti ya Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka na aliyekuwa Naibu Rais Dkt Fred Matiangí kwenye uchaguzi mkuu ujao. Kulingana na kura ya maoni iliyot...

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

Kalonzo Announces Date for ‘Mother of All Protests’

Wiper party leader Kalonzo Musyoka has pinned the blame for soaring fuel prices on a failure of leadership, accusing the Kenya Kwanza administration of steering the economy and pub...

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

“Tutampa Tikiti”: Kalonzo Declares Mohamed Ali Opposition Flagbearer for Mombasa Governor

Wiper Patriotic Front (WPF) leader Kalonzo Musyoka has officially endorsed Nyali MP Mohamed Ali as the United Opposition’s candidate for the Mombasa gubernatorial race in 2027. Spe...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Mudavadi: Ruto atashinda kwa kura asilimia 70 mpaka iwe vigumu kupeleka kesi kortini

KINARA wa Mawaziri Musalia Mudavadi ameonyesha imani yake kuwa Rais William Ruto atashinda 2027 kwa zaidi ya asilimia 70. Akiongea kwenye mahojiano na kituo kimoja nchini Jumatatu...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Azimio la Umoja kugeuka ‘Komboa Kenya Alliance’

MUUNGANO wa upinzani nchini umeanza kuchukua sura mpya baada ya kuibuka kwa pendekezo la kubadilisha jina la Azimio la Umoja kuwa “Komboa Kenya Alliance”. Hatua hii inalenga kuima...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mjadala mzito Biya kumteua mwanaye Makamu wa Rais

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Masuala tisa yanayotatiza mrengo wa upinzani uchaguzi wa 2027

SIASA kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 zimechukua mkondo mpya huku mrengo wa upinzani ukiwa na nafasi nzuri ya kumbwaga Rais William Ruto ikiwa itaungana na kumteua mgombea mmo...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Haitakuwa haki kunitema 2027, Ruto arai Mlima

RAIS William Ruto jana aliwaomba wapiga kura wa Mlima Kenya wasimwondoe madarakani katika Uchaguzi Mkuu wa 2027, badala yake wamuunge mkono kwa muhula wa pili akisema ametekeleza a...

Read source
nairobiwire.com /2 weeks ago

Ruto Leads 2027 Race as Kalonzo Closes In, New Poll Shows

President William Ruto holds an early advantage in Kenya’s 2027 presidential race, according to a new national survey that reveals no candidate yet commands a decisive edge. The fi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jinsi kutokuwepo kwa Odinga na Kenyatta kwenye debe kunavyofungua kura ya 2027

HUKU kivumbi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027 kikishika kasi, maeneo mawili muhimu kisiasa nchini Kenya; Luo Nyanza na Mlima Kenya, yameingia katika mabadiliko makubwa ya kisiasa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Ruto ana kibarua kigumu kuvumisha Tutam Wakenya wakikabiliwa na gharama ya juu ya maisha

UCHAGUZI Mkuu wa 2027 umeibua hali ya kipekee katika siasa za Kenya. Rais William Ruto anaingia katika kipindi cha mwisho cha muhula wake wa kwanza akiwa amepoteza sehemu kubwa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

Watu wangu msilipize kisasi, Kalonzo arai wakazi kuhusu mauaji

Kiongozi wa chama cha Wiper Patriotic Front, Kalonzo Musyoka, amewataka wakazi wa Kaunti ya Kitui kujizuia kulipiza kisasi kufuatia mashambulizi yanayodaiwa kufanywa na wafugaji wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kindiki ajipange? Ndoto ya Joho kuwa naibu wa Ruto yapigwa jeki

VIONGOZI wakuu katika Chama cha ODM wamekubaliana na wanasiasa wanaomtaka Waziri wa Madini na Uchumi wa Baharini, Bw Hassan Joho, kuwa mgombea mwenza wa Rais William Ruto katika Uc...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

OneTam: Upinzani wasisitiza umeungana licha ya mikutano tofauti

WASIWASI wa kuwepo kwa mvutano mpya umeibuka ndani ya muungano wa upinzani huku kampeni sambamba za viongozi wakuu zikizua maswali mazito kuhusu mshikamano, uratibu na mkakati wa p...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Joho ataka mkataba kwanza na Ruto ndio aanze kuvumisha ‘Tutam’

WAZIRI wa Madini na Uchumi wa Baharini, Bw Hassan Joho, ametangaza sharti la mkataba wa kisiasa kati yake na Rais William Ruto, ili amuunge mkono kwa awamu ya pili ya uongozi 2027....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /6 days ago

OneTam! Damu mpya ya uongozi yanukia 2027

MJADALA kuhusu kizazi kipya cha viongozi nchini Kenya unaendelea kushika kasi huku baadhi ya wanasiasa vijana wakitaka mwisho wa siasa zinazotawaliwa na vigogo wa enzi za Kanu....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Upinzani sasa waahidi bonge la maandamano ya kupinga ‘utawala mbaya’

WAKENYA wametakiwa kujiandaa kwa wimbi jipya la maandamano kuanzia Juni 25, viongozi wa upinzani Kalonzo Musyoka na Rigathi Gachagua wamesema, wakisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Viunzi vinavyomkabili Ruto kuelekea uchaguzi mkuu 2027

Soma zaidi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Wito serikali ihakikishe watoto wote wanapata elimu bila ubaguzi

KINARA wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, ameihimiza serikali kuhakikisha kila mtoto nchini anapata elimu bila vikwazo, akisema wanafunzi wengi kutoka familia maskini wanatatizik...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Azma Ya Kalonzo Kuwa Rais

nairobiwire.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source