Mwanamume aambia korti hajuti kukuza bangi baada ya kukosa ajira
MSHUKIWA ameambia mahakama kwamba hajuti kujihusisha na kilimo cha bangi baada ya kushindwa kupata ajira licha ya kuwa na cheti cha ufundi wa magari. Bw Geoffrey Lingori, 58 alifi...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Athari Za Uvutaji Bangi.
Fresh curated links around Athari za uvutaji bangi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
MSHUKIWA ameambia mahakama kwamba hajuti kujihusisha na kilimo cha bangi baada ya kushindwa kupata ajira licha ya kuwa na cheti cha ufundi wa magari. Bw Geoffrey Lingori, 58 alifi...
MISAKO mikali ya Idara ya Upelelezi Nchini (DCI) dhidi ya dawa za kulevya katika kipindi cha miezi sita iliyopita imefichua mbinu mpya zinazotumiwa na walanguzi kusafirisha na kusa...
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), ameshindwa katika juhudi zake za kuiomba Mahakama Kuu ibadilishe hukumu ya miaka mitatu jela dhidi ya Kenes Mbukwa, aliyekutwa na dawa za kule...
Soma hapa...
MAKAHAMA Kuu imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na Chama cha Warastafari Kenya iliyotaka wanachama wake waruhusiwe kulima, kumiliki na kutumia bangi kama sehemu ya ibada yao....
Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya ya mwaka 2025 inaonesha kiasi cha tani 26.36 za mirungi zilikamatwa, zikihusisha watuhumiwa 1,458, kati ya hao wanaume 1,265 na wanawak...
Watu hao wamekamatwa katika operesheni maalumu ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya kata za Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi.
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Isa Rashidi, maarufu Hamidu, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha kilogramu 75.15 za dawa...
Mashahidi 22 na vielelezo 39 vinatarajiwa kutolewa na upande wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha kilo 90 za dawa za kulevya aina ya bangi, inayomkabili mshtakiwa Jaribu Twaha na...
POLISI katika Kaunti ya Mombasa wanamzuilia mwanamume aliyepatikana amemeza madonge ya dawa za kulevya, akilenga kuyasafirisha hadi Dubai yakiwa ndani ya mwili wake. Mnamo Julai 1...
Soma hapa...
YOTE huanza kwa chupa ya pombe ya bei nafuu, chapa inayofahamika au kinywaji kilichonunuliwa katika baa inayoaminika. Kisha huja ladha ya ajabu, kuwasha koo, kutapika, kushindwa ku...
Soma zaidi hapa...
Balozi wa Tanzania nchini China, Dk Suleiman Haji Suleiman amesema dawa za kulevya zinaendelea kuwagharimu Watanzania wanaokwenda China na kuwa baadhi yao wamehukumiwa vifungo vya...
Katika mojawapo ya njia za kutafuta suluhisho, imetaja mbinu ya kuwazuia watu kucheza kwa lazima ili kuwasaidia waathirika kuondokana na tatizo hilo na kuwahamasisha kucheza kwa uw...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
Soma zaidi...
WASHUKIWA wawili wameshtakiwa katika Mahakama ya Mombasa kwa madai ya kula njama ya kusafirisha kokeini yenye thamani ya karibu Sh4 milioni. Hilton Gocho Chopeta na Mohamed Jabi...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imevitaka vyuo vikuu nchini kutumia akili unde, teknolojia na taaluma mbalimbali kufanya tafiti za kisayansi zitakazosai...
Soma zaidi...
Wakazi wa Mitaa ya Pingoni na Thaluji jijini Tanga, wamedai kuwa wapo hatarini kupata changamoto za kiafya, zinazotokana na uvutaji wa moshi na vumbi linalotoka katika kiwanda cha...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.