Gari laparamia nyumba, mtoto afariki dunia
Ajali hiyo imetokea leo Julai 31, 2026 saa 12:00 asubuhi na kusababisha kifo cha mtoto huyo pamoja na majeruhi mmoja ambaye ni dereva wa gari hilo, Maximilian Lesio (31).
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Ajali Barabarani.
Fresh curated links around Ajali barabarani are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Ajali hiyo imetokea leo Julai 31, 2026 saa 12:00 asubuhi na kusababisha kifo cha mtoto huyo pamoja na majeruhi mmoja ambaye ni dereva wa gari hilo, Maximilian Lesio (31).
AJALI za barabarani zimeendelea kuwa tishio kubwa Kenya, huku zaidi ya watu 40,000 wakifariki katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, kulingana na takwimu za serikali. Jana,...
WATU 21 wamepoteza maisha katika ajali tofauti za barabarani nchini ndani ya kipindi cha chini ya saa 24, hali inayozua wasiwasi kuhusu ongezeko la vifo vinavyotokana na ajali kati...
Ajali hiyo imetokea asubuhi leo Jumatatu, Agosti 10, 2026.
Licha ya ongezeko la zaidi ya magari bilioni moja duniani, vifo vinavyotokana na ajali za barabarani vinatajwa kupungua kwa asilimia 21 kati ya mwaka 2011 na 2025.
Watu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha mabasi mawili kugongana eneo la Ibihwa Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma.
Pia gari za ruti nyingine zinazotumia barabara hiyo, hazitatakiwa kushusha wala kupakia abiria vituo vya katikati hadi zifike mwisho wa safari.
Soma hapa...
Watu sita akiwemo mtoto mdogo wamefariki dunia na wengine zaidi ya 11 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Kampuni ya Last Bullet iliyotokea leo Jumanne, Julai 7, 2026 eneo la Chemch...
Soma zaidi...
Soma hapa...
Katika semina hiyo, washiriki wamekabidhiwa vifaa vya kujikinga wakiwa barabarani, sambamba na stika zenye ujumbe wa usomekao 'Kuwa Makini, Okoa Maisha.'
MAMLAKA ya Kitaifa ya Usafiri na Usalama Barabarani (NTSA) inakosolewa vikali na madereva, viongozi na wadau wa sekta ya usafiri kutokana na kile kinachoelezwa kuwa makosa ya mara...
Majeruhi wawili kati ya watano waliokuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru baada ya ajali ya basi la Kampuni ya Kandahari na lori iliyoua watu sita wilaya...
Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria kuanguka muda mfupi baada ya kuruka katika mji wa Tomblaine, kaskazini mashariki mwa Ufaransa.
Akizungumza katika eneo la tukio, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hadi kufikia saa sita usiku hakukuwa na taarifa ya madhara ya vifo wala majeruhi.
Soma zaidi...
According to witnesses, one of the trucks completely blocked the busy road, closing both lanes of traffic.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.