Wataalamu waeleza kwa nini kuna baridi kali Nairobi mwezi huu wa Agosti
KWA Wakenya wengi, Agosti umekuwa mwezi wa kuvaa nguo nzito, kujifunika blanketi na baridi kali isiyo ya kawaida asubuhi. Nairobi na maeneo ya nyanda za juu katikati mwa nchi yame...