Jumwa atema UDA kwa mara ya pili: ‘Ruto nimevumilia nimechoka, niache salama usinidhuru’
ALIYEKUWA Waziri wa Jinsia, Bi Aisha Jumwa, ambaye analenga kuwania ugavana Kilifi, ametangaza kujiondoa katika chama cha United Democratic Alliance (UDA). Hii ni mara ya pili kwa...