Makundi ya vijana yalemea gavana Sakaja huku yakitawala maeneo ya maegesho CBD
LICHA ya juhudi za mara kwa mara za maafisa wa Jiji la Nairobi kukomesha huduma haramu za vijana kusimamia maegesho katika barabara, wanaendelea bado vijana hao kuhangaisha maderev...