Latest updates for Afiai Ya Rais

Fresh curated links around Afiai ya Rais are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • MAONI: Asasi ya urais isifanywe kama mkeka wa kuchezewa na raia
  • Kutoka ubunge hadi Ikulu: Kizigha apewa jukumu la kumshauri Rais
  • Mjadala mzito Biya kumteua mwanaye Makamu wa Rais

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /2 days ago

MAONI: Asasi ya urais isifanywe kama mkeka wa kuchezewa na raia

JUMAPILI iliyopita katika ibada ya shukran ya katibu katika Wizara ya Vijana Fikirini Jacobs Bamba Kilifi, kisa kilichotokea katika hafla hiyo kinatakiwa kuchukuliwa kwa uzito na k...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Kutoka ubunge hadi Ikulu: Kizigha apewa jukumu la kumshauri Rais

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za Serikali, hatua inayolenga kuimarisha utendaji kazi na kuongeza ufanisi katika taasisi za umma.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mjadala mzito Biya kumteua mwanaye Makamu wa Rais

Soma zaidi hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Rais Samia agusia mapendekezo ripoti ya Tume ya Haki Jinai

Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Magereza kuzingatia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai katika maeneo ambayo bado hayajaguswa kikamilifu.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Maagizo matano ya Rais Samia kuboresha sekta ya mama, baba lishe

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo matano yanayolenga kuboresha sekta ya mama na baba lishe nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni mhimili muhimu wa uchumi wa kila siku na ust...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 days ago

Madai yafichuka ya hujuma, mvutano katika kikosi cha kulinda Rais

KUTOAMINIANA na hujuma vilichochea mvutano ndani ya Kitengo cha Ulinzi wa Rais hali iliyosababisha mzozo kati ya maafisa wa polisi wa ngazi za chini na wakuu wao na hatimaye kuleta...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Temesa yapata bosi mpya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Kheri Abdul Mahimbali, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa).

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mwinyi awaapisha wakuu wa wilaya wapya, waahidi kutatua changamoto

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amewaapisha wakuu wa wilaya aliowateua hivi karibuni huku wateule hao wakitaja vipaumbele vyao kwenye maene...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Ishu ya mabaunsa, Serikali yatoa msimamo

Soma hapa....

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Rais Samia atoa msimamo mifuko ya vijana kuunganishwa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema pendekezo la kuunganisha mifuko yote ya uwezeshaji wa vijana kuwa chini ya wizara moja haliwezekani, akieleza kila sekta ina majukumu na mipango ya...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Kagame, Ruto kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi

Ziara hizo zinakuja wakati mataifa ya Afrika Mashariki yakiongeza juhudi za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, kukuza biashara ya kikanda na kuendeleza mshikamano kupitia sera ya...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Wawakilishi wachachamaa fedha kiduchu ofisi ya Makamu wa Kwanza

Fedha kiduchu zinazotengwa na kutolewa kwa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Taasisi zake zimeibua mjadala kwa wawakilishi wakiitaka Serikali kuangalia upya mipango yake kwani t...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Mfungwa aomba Rais Samia awaonee huruma magerezani

Baadhi ya wafungwa wenye ujuzi mbalimbali wanaokaribia kumaliza vifungo vyao wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuangalia namna ya kuwawezesha mitaji ili kuendeleza vipaji vyao w...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Sh5.397 bilioni kujenga nyumba ya makazi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 day ago

Nchimbi afichua siri na Magufuli 2015

Soma zaidi...

Read source
allafrica.com /1 month ago

Dr Samia Suluhu Hassan Orders ORCI to Do Proper Maintenance On Its Cancer Diagnosis Machine

[Daily News] Dar es Salaam -- PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has instructed the management of the Ocean Road Cancer Institute (ORCI) to ensure proper maintenance of modern diagnosti...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Tumia bakora kwa hao Gen Z, Rais Samia amshauri Ruto

KAULI ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa watashirikiana na Rais William Ruto kuendelea kuwaadhibu vijana wa Gen Z wanaoandamana imezua mjadala iwapo tawala hizi mbili zin...

Read source
mwananchi.co.tz /6 days ago

Rais Mwinyi ayaonya mashirika ya umma ‘mzigo’

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali haitakuwa tayari kuendelea kubeba mashirika ya umma yanayoshindwa kujiendesha na kuendelea kutegemea ruzuku kutoka serikali...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Ruto atangaza zawadi ya Sh40m kupigia debe nyumba nafuu na SHA

WIKI chache zilizopita, alipokuwa akihutubia Wakenya wanaoishi Roma, Italia, Rais William Ruto alitoa onyo kali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii. Alisema majukwaa hayo yame...

Read source
mwananchi.co.tz /3 days ago

Wawili kushikilia ofisi za CWT wakisubiri hatima ya viongozi wao

Soma zaidi...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Sura ya Trump kwenye pasipoti mpya Marekani

Rais wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuonekana kwenye pasipoti mpya maalumu zitakazotolewa kuadhimisha miaka 250 tangu kupatikana kwa uhuru wa taifa hilo.

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Rais Samia awapa neno vijana ya Oktoba 29 yasijirudie

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Tume ya Jaji Chande yajibu mapigo, yataka haki kwa uwajibikaji

Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imefafanua mapendekezo yake kuhusu uwajibikaji, huku ikifichua wajumbe wake kup...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Mstaafu anapoishia kujiuliza ashike lipi, aache lipi!

Majuzi hiki chama kisemekanacho kuwa ni cha kuwatetea na kuwasemea waajiriwa kuhusu matatizo yao, kimefanya jambo moja kubwa ambalo hakijawahi kulifanya kwa huyu mstaafu wetu na we...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Afiai Ya Rais

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source