Latest updates for #Mswada Wa Fedha
Fresh curated links around #Mswada wa Fedha are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Sheria ya fedha inavyong'ata
- Fedha za vyama zinavyowang’oa vigogo upinzani
- Pendekezo la Serikali kukopa BoT lachochea mjadala
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Pendekezo la Serikali kukopa BoT lachochea mjadala
Soma zaidi hapa...
Wizara ya Fedha yaja na vipaumbele vinane ikionya kuwepo na vihatarishi
Wizara ya Fedha imeweka wazi vipaumbele vinane vitakavyoongoza utekelezaji wa majukumu yake pamoja na taasisi zilizo chini yake, huku ikiomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh21.3 trilion...
Mambo ya Nje waanika vipaumbele wakiomba Sh359 bilioni
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.
Msajili atoa kauli sakata la mamilioni ya ruzuku Chadema
Soma hapa...
Mwigulu ashtukia upigaji fedha Manyoni, awataka watendaji kuzitapika
Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...
Fedha zinapomwagwa nje nje lakini hazimhusu mstaafu!
Mstaafu wetu anajikuta akifanya kile kinachomshangaza hata yeye mwenyewe, cha kujikuta akikishukuru kibubu cha wastaafu kwa kufanya kilichofanywa na maofisa wake wahusika kuona mwe...
Zanzibar kuanzisha soko la hisa
Pamoja na mwenendo wa hali ya uchumi na teknolojia ya mifumo ya kielektroniki katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa mapato, Wizara ya Fedha na Mipango imej...
Ni wiki ya madaraja na malipo kwa makandarasi
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Mfanyabiashara mtegoni, asipolipa Sh50 milioni kutupwa gerezani
Soma hapa...
Tuhuma ufisadi Sh22 bilioni, pingamizi la AG, Benki ya Uingereza latupwa
Soma hapa...
Hatari kuruhusu mtu atumiwe fedha kupitia akaunti yako
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewaonya wananchi dhidi ya kuruhusu akaunti zao za benki au huduma nyingine za kifedha kutumika kupokea au kuhamisha fedha zisizojulikana chanzo chake.
Dk Mwinyi: Mjadala kuongeza muda wa uongozi hauna tija
Amesema utaratibu wa hazina kutoa fedha kuendesha taasisi hizo umepitwa.
FYATU MFYATUA: Tuchangamkie misaada dunia imebadilika kiaina!
Soma hapa...
GEF yaidhinisha Sh9.95 trilioni, fursa kwa Tanzania
Jitihada za dunia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, upotevu wa bioanuwai na uharibifu wa mazingira zimepata nguvu mpya baada ya Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF) kuidhinisha...
Hizi hapa bajeti za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimewasilisha bajeti zao za Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 huku baadhi zikiweka nguvu kwenye mapato ya ndani kwa kutumia ra...
Sekta binafsi, wasafishaji wataja maeneo muhimu bajeti 2026/27
Soma hapa...
Bajeti Kuu ya Zanzibar ya Sh8 trilioni yapita
Bajeti ya Serikali iliyopitishwa leo Juni 18, 2026 na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ni Sh8 trilioni huku deni la Taifa likifikia Sh3 trilioni.
Wadau waichambua bajeti kuu wakionesha mbivu, mbichi
Katika bajeti hiyo, Serikali imeonesha maeneo ya kimkakati na jinsi ambavyo bajeti hiyo inapunguza utegemezi, badala yake kuongeza mipango ya kukusanya kodi za ndani.
Wadau watoa maoni Rasimu ya Bajeti ya SMZ 2026/27
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiwa imetoa Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2026/27, wadau wa sekta binafsi wameonesha ubora na upungufu wa rasimu hiyo.
Yaliyotikisa mjadala wa bajeti Zanzibar
Wakati Baraza la Wawakilishi likihitimisha siku 47 za mjadala wa bajeti na kupitisha makadirio ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ya Sh8.5 trilioni, si takwimu za fedha ndizo zilizo...
Wizara yazindua nyenzo za bajeti inayozingatia usawa wa kijinsia
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik amesema bajeti ndiyo nyenzo kuu inayotumiwa na Serikali kutekeleza sera na mipango ya maendeleo.
Dk Mwigulu ataka sekta binafsi iheshimiwe
Dk Mwigulu amesema hata uchumi wa mataifa yaliyoendelea nguzo yake ya muhimu ni sekta binafsi.
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.